JIUNGE NA HARAKATI


Jiunge na harakati

Wanachama ndio kiini cha chama chetu. Kama utajiunga nasi leo utakuwa ni sehemu ya harakati za kampeni ya mabadiliko. Harakati zenye lengo la kuleta mabadiliko ya kweli katika nchi yetu ya Tanzania.

kama mwanachama utakuwa na uwezo, haki na uhuru wa  kuchangia sera mbalimbali za chama, kushiriki na kufanikisha mipango, shughuli  na kampeni mbalimbali za chama, uwezo na haki ya kuchagua viongozi wa chama, kuchaguliwa kuongoza na kuwakilisha katika ngazi mbalimbali za chama  pamoja na kushiriki katika vikao mbalimbali vya chama.

Ili kuwa mwanachama na  kujiunga katika  harakati za mabadiliko tafadhari download na jaza fomu ya uanachama kisha tutumie kwa barua pepe au Posta.
Fomu Ya Kujiunga na Uanachama Wa Chadema Tawi La Uk

No comments:

Post a Comment

Chadema UK Ndani ya Milton Keynes

DAR NI SISI - VIDEO MAISHA YA WANADAR HATA BAADA YA MIAKA50 YA UHURU